All News related to ZFDA

TANGAZO LA USAILI PEMBA

  • Post author:
  • Post category:ZFDA

TANGAZO Kufuatia tangazo la kazi lililotolea taraehe 22-10-2020 wakala wa chakula,dawa na vipodozi (ZFDA) inapenda kuwataarifu waombaji wafuatao kuwa wanatakiwa wafike katika usaili kwa upande wa pemba utakaofanyika siku ya…

Continue ReadingTANGAZO LA USAILI PEMBA
Read more about the article Eid Al-adha
Meat Inspection

Eid Al-adha

  • Post author:
  • Post category:ZFDA

UKAGUZI WA UCHINJAJI WA EID AL-ADHA Wakaguzi wa ZFDA, wakikagua wanyama ambao wamechinjwa kwa kuadhimisha siku kuu ya waislamu ya Eid Al-adha.

Continue ReadingEid Al-adha

TANGAZO LA KUCHINJA

  • Post author:
  • Post category:ZFDA

TANGAZO Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) inapenda kuwatangazia wafanyabiashara na wananchi wote kwa ujumla kuwa  wale wote wanaotaka kuchinja wanyama kwa kipindi hiki cha kuelekea Sikukuu ya Eid…

Continue ReadingTANGAZO LA KUCHINJA

TANGAZO

TANGAZO: Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) kwa kushirikiana na Manispaa za Mkoa wa Mjini Magharibi zinapenda kuwatangazia  wafanyabiashara wote kuwa, ifikapo tarehe 20/07/2020, kwa mujibu wa Sheria namba 2…

Continue ReadingTANGAZO

TANGAZO

  • Post author:
  • Post category:PublicZFDA

Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) inawatangazia wafanyabiashara wote wa maziwa kuwa, ifikapo tarehe 20 Februari 2020, kwa mujibu wa Sheria namba 2 ya 2006 ya Chakula, Dawa na Vipodozi…

Continue ReadingTANGAZO