TANGAZO
TANGAZO: Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) kwa kushirikiana na Manispaa za Mkoa wa Mjini Magharibi zinapenda kuwatangazia wafanyabiashara wote kuwa, ifikapo tarehe 20/07/2020, kwa mujibu wa Sheria namba 2…
TANGAZO: Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) kwa kushirikiana na Manispaa za Mkoa wa Mjini Magharibi zinapenda kuwatangazia wafanyabiashara wote kuwa, ifikapo tarehe 20/07/2020, kwa mujibu wa Sheria namba 2…
ZFDA imekifunga kiwanda cha kutengeneza Sanitizers feki
ZFDA yaanza kufanya ukaguzi wa maziwa katika maeneo mbali mbali kufuatia agizo walilotoa katika vyombo vya habari Ukaguzi wa uuzwaji wa maziwa MUENDELEZO WA UKAGUZI WA UUZWAJI WA MAZIWA ZANZIBAR
TAARIFA KWA UMA Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) ni taasisi iliyo chini ya Wizara ya Afya inayofanya kazi kwa mujibu wa Sheria ya Chakula, Dawa na Vipodozi Na. 2/2006…
Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA) inawatangazia wafanyabiashara wote wa maziwa kuwa, ifikapo tarehe 20 Februari 2020, kwa mujibu wa Sheria namba 2 ya 2006 ya Chakula, Dawa na Vipodozi…
UTANGULIZI Wakala wa chakukula dawa na vipodozi imepata ujio wa wageni kutokea TBS tarehe 14/11/2019 iliopo mombasa zanzibar kwa ajili yakubadilishana utaalam baina ya wafanyakazi wa ZFDA na TBS ili…
Mkuu wa kitengo cha Uchambuzi wa Athari zitokanazo na Chakula wa Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA)Aisha Suleiman akitoa Elimu ya Matumizi ya Chakula Vinywaji pamoja na Peremende kwa Wanafunzi…
Wageni kutoka china national research institute of food and fermentation industries ya china wakitembelea ZFDA SIKU YA 07-10-2019 HAPO OFISINI KWAO MOMBASA ZANZIBAR. Katika kuendeleza ushirikiano baina ya serikali ya…
Wakala wa chakula na dawa kwa kushirikiana na jeshi la polisi imeteketeza mchele usiofaa kwa matumizi ya binadamu ili kulinda afya ya Jamii.
Dr Burhani O Simai Wafamasia Zanzibar Wakala wa Chakula Dawa na Vipodozi inawatakia mafanikio mema wafamasia wote, ikiwa leo ni siku ya maadhimisho kwa wafamasia wote duniani.. kauli mbiu ya…