UTEKETEZAJI WA BIDHAA ZA DAWA

Wakala wa Chakula na Dawa (ZFDA), imeteketeza jumla ya Tani 15 za bidhaa za Dawa zilizomaliza muda wake wa matumizi pamoja zile zilizoingia nchini kinyume na Sheria ya Wakala wa Chakula na Dawa. Zoezi hilo, limefanyika Kikungwi, Mkoa wa Kusini Unguka leo tarehe 23/09/2023. “Together we protect public health”
ELIMU KWA UMMA

Elimu kwa umma juu ya Usalama wa Chakula na Madhara yatokanayo na Dawa, yalitolewa kwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mikindani, Dole , 21/09/2023 Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA), imetoa elimu kwa wanafunzi wa Sekondari wa Skuli ya Mikindani iliyopo Dole, mnamo tarehe 21/09/2023. Wanafunzi hao walipatiwa elimu juu ya Usalama wa Chakula, Madhara yatokanayo […]